Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yakobo 5:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Mali yenu imeoza, na nguo zenu zimekuliwa na nondo.

Gade chapit la Kopi




Yakobo 5:2
10 Referans Kwoze  

Nami ninaisha kama muti uliooza, kama nguo iliyokuliwa na nondo.


Muuzishe vitu munavyokuwa navyo, muwasaidie wamasikini. Mujiwekee feza zisizoweza kuwa na upungufu, nayo akiba isiyoweza kumalizika katika mbingu. Kule wizi hawawezi kukaribia wala nondo hawaharibu.


Angalia Bwana wetu Yawe ananisaidia. Ni nani anayeweza kusema niko na kosa? Waadui zangu wote watachakaa kama nguo, nondo watawatafuna.


Maana watakuliwa na nondo kama vile nguo; vidudu watawakula kama wanavyokula nguo ya manyoya ya kondoo. Lakini ukombozi ninaouleta mimi utadumu milele; wokovu wangu hautakuwa na mwisho.


na hivyo tutapata baraka zile ambazo Mungu aliwawekea watu wake. Baraka zisizoweza kuoza wala kuchafuka wala kupunguka; nazo zinawekewa akiba kwa ajili yenu mbinguni.


Mutu anayepata mali isiyokuwa ya usawa ni kama kwale anayelalia mayai ambayo hakutaga. Mali yanamwishia angali kijana, na kwa mwisho anageuka sawa mupumbafu.


Usiniazibu tena; ninamalizika kwa mapigo yako.


Hivyo mimi Mungu niko kama nondo kwa Efuraimu, kama kidonda kibaya kwa watu wa Yuda.


Kwa mufano: tajiri mumoja anayevaa pete ya zahabu na nguo nzuri anaingia katika nyumba yenu ya kuabudia. Na kisha kunaingia vilevile masikini anayevaa nguo zinazopasukapasuka.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite