Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yakobo 5:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Kisha akaomba tena, na mbingu ikanyesha mvua, na inchi ikatoa mazao yake.

Gade chapit la Kopi




Yakobo 5:18
4 Referans Kwoze  

Katikati ya miungu ya uongo ya mataifa nani anayeweza kunyesha mvua? Au, ni mbingu ndiyo inaweza kutoa manyunyu? Si ni wewe ee Yawe, Mungu wetu? Tunakuwekea wewe tumaini letu, maana ni wewe unayefanya haya yote.


Elia akamujibu: “Mwenye kutaabisha Waisraeli si mimi, lakini ni wewe na jamaa ya baba yako. Ninyi mumepita pembeni ya amri za Yawe na kuabudu Bali.


Ingawa vile hakuacha kujijulisha kwa njia ya kutenda mema. Anawanyeshea mvua toka mbingu, anawapa mavuno kwa wakati wake, anawapa chakula na kuwajaza na furaha.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite