Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yakobo 4:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Musikitike, mulie na kulalamika. Kucheka kwenu kugeuke kuwa kilio, na furaha yenu igeuke kuwa huzuni.

Gade chapit la Kopi




Yakobo 4:9
25 Referans Kwoze  

Heri wale wanaokuwa na huzuni, maana Mungu atawafariji!


Huzuni inaweza kufichwa katika kicheko; nyuma ya furaha kunakuja huzuni.


Ole kwenu ninyi munaoshiba sasa, maana mutasikia njaa. Ole kwenu ninyi munaocheka sasa, maana mutahuzunika na kulia.


Mbele sijateswa nilikuwa nimepotea, lakini sasa ninashika neno lako.


Nitakusamehe kila kitu ulichotenda. Nawe utakapokumbuka hayo yote uliyotenda utashangaa na kunyamaza kwa sababu ya haya wala hautasubutu kusema tena. –Ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe.


Ikiwa kuna watu walioponyoka, watakimbilia kwenye milima kama njiwa waliotishwa katika bonde. Kila mumoja wao ataomboleza kwa ajili ya zambi zake.


Lakini Abrahamu akamujibu: ‘Mutoto wangu, kumbuka kwamba umekwisha kupewa mema yaliyokupasa wakati ulipoishi katika dunia, na Lazaro alipata taabu. Na sasa yeye anatulizwa, lakini wewe unateswa.


Kinubi changu kimekuwa cha kufanya kilio filimbi yangu kwa ajili ya kuomboleza.


Heri kwenu munaokuwa wenye njaa sasa, maana mutashibishwa. Heri kwenu munaolia sasa, maana mutacheka.


Furaha ya mioyo yetu imetoweka, michezo yetu imegeuzwa kuwa maombolezo.


Halafu wabinti zao watafurahi na kucheza, vijana na wazee watashangilia kwa furaha. Nitageuza maombolezo yao kuwa furaha, nitawafariji na kuwapa furaha pahali pa huzuni.


Watarudi wakiwa wanatoa machozi, nami nitawaongoza nikiwafariji; nitawapitisha kando ya vijito vya maji, katika njia iliyonyooka ambamo hawatajikwaa; maana mimi nimekuwa baba wa Israeli, Efuraimu ni muzaliwa wangu wa kwanza.


Nikasema juu ya kicheko: “Ni wazimu”, na raha: “Iko na faida gani?”


Nimefaidika kutokana na taabu yangu, maana imeniwezesha kujifunza masharti yako.


Macho yangu yanatiririka machozi kama muto, kwa sababu watu hawaishiki sheria yako.


Watu waliposikia Sheria, wakaguswa ndani ya mioyo yao, halafu wote wakaanza kulia. Hivyo Nehemia aliyekuwa mutawala na Ezra kuhani na mwandishi, pamoja na Walawi waliofundisha watu wakawaambia watu wote: “Siku hii ni siku takatifu kwa Yawe, Mungu wenu, hivyo musiomboleze wala kulia.


Nao wakamujibu: “Atawaua hao watu wabaya pasipo huruma, naye atapatana na walimaji wengine kwa kutunza shamba lake na kumupatia sehemu yake ya matunda kwa wakati wa mavuno.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite