Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yakobo 4:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Mujinyenyekeze mbele ya Bwana, naye atawainua.

Gade chapit la Kopi




Yakobo 4:10
19 Referans Kwoze  

Yawe anawashikilia wanyenyekevu, lakini anawaangusha waovu katika mavumbi.


Na yeyote anayejiinua, atashushwa, lakini anayejishusha, atainuliwa.


Basi mujinyenyekeze mbele ya Mungu mwenye uwezo, kusudi awainue kwa wakati unaofaa.


Kwa maana kila mutu anayejiinua atashushwa, lakini anayejishusha atainuliwa.”


Maana, Mungu anawashusha wenye majivuno, lakini anawaokoa wanyenyekevu.


Anamwinua muzaifu toka katika mavumbi, anamunyanyua mukosefu toka yalala,


Amewashusha wafalme wenye uwezo, lakini amewainua wanyenyekevu.


Yesu akaongeza kusema: “Ninawaambia kwamba mutu huyu alirudia kwake akiwa amehesabiwa kuwa na haki mbele ya Mungu, lakini si yule Mufarisayo. Kwa maana kila mutu anayejiinua atashushwa, lakini anayejishusha atainuliwa.”


Nami nitawaangalia kwa majivuno waadui zangu wanaonizunguka. Nitamutolea Yawe sadaka kwa shangwe, ndani ya hekalu lake, nitaimba na kumushangilia.


Mashairi yanayoelekea muzinduo wa hekalu. Zaburi ya Daudi.


Anayalinda maisha ya waaminifu wake, lakini anaangamiza maisha ya waovu katika giza. Maana, mwanadamu hapati ushindi kwa nguvu zake.


Ee Mungu, uwaokoe watu wako; uwabariki watu hao wanaokuwa mali yako. Ukuwe muchungaji wao na kuwalinda milele.


Basi, Musa na Haruni wakamwendea mufalme wa Misri na kumwambia: “Yawe, Mungu wa Waebrania, anasema hivi: ‘Mpaka wakati gani utakataa kujinyenyekeza mbele yangu? Uwaache watu wangu waondoke kusudi wanitumikie.


Yawe anawafanya wamoja wakuwe wamasikini, na wengine wakuwe watajiri. Anawashusha wamoja, na kuwainua wengine.


kama watu wangu hao wakijinyenyekeza, wakiomba, wakinitafuta na kuacha njia zao mbaya, basi, mimi nitawasikiliza kutokea juu mbinguni, nitawasamehe zambi yao na kustawisha inchi yao.


Anainua juu wanaokuwa zaifu; wenye kuomboleza anawapa usalama.


Kiburi cha mutu kinamuzaraulisha mwenyewe, lakini munyenyekevu wa roho atapata heshima.


Mufalme wa Babeli anasimama kwa mwanzo wa hizo njia mbili, kwenye masanganjia, apate kuaguza. Anatikisa mishale, anauliza shauri la sanamu ya miungu yake na kuchunguza maini ya nyama.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite