Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yakobo 3:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Lakini hakuna mutu mumoja anayeweza kufuga ulimi, maana ni uovu usiotulia, unajaa sumu yenye kuua.

Gade chapit la Kopi




Yakobo 3:8
13 Referans Kwoze  

Vinywa vyao ni kama kaburi wazi, ndimi zao ni za kudanganya, ndani ya midomo yao munatoka sumu kali sawa ya nyoka.


Watu hao wanafikiri mabaya siku zote, wanaamusha ugomvi kila mara.


Nao ulimi ni kama moto. Ulimi ni kiungo kinachojaa ubaya wa kila namna. Ulimi unapatikana kwenye nafasi yake katikati ya viungo vyetu, nao ndio unaochafua mwili wote. Unateketeza maisha yetu ukichomwa wenyewe na moto unaotoka katika jehenamu.


Mwenzangu amemushambulia rafiki yake, amevunja mapatano yake.


Atanipelekea musaada toka mbinguni na kuniokoa, atawafezehesha hao wanaonishambulia. Mungu atanionyesha wema na uaminifu wake!


Kila magaribi waadui hao wanarudi wakifoka kama imbwa, na kuzungukazunguka katika muji.


Waovu wamepotoka tangu kuzaliwa kwao, hao waongo wamekosa tangu walipozaliwa.


Nyoka ya muchawi ikiuma mbele haijachochewa, hakuna faida tena kwa muchawi.


Divai yao ni kama sumu ya nyoka, ina sumu kali ya nyoka kubwa.


Basi yule nyoka mukubwa akafukuzwa. Yeye ndiye yule nyoka wa zamani anayeitwa “Mwovu” au “Shetani,” anayedanganya watu wote. Akatupwa katika dunia pamoja na wamalaika zake.


Mwenye moyo mupotovu hafanikiwi, na musema uongo anapatwa na hasara.


Kila namna ya nyama, ndege, nyoka na samaki wanaweza kufugwa na mutu, na wamekwisha kufugwa naye.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite