Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yakobo 3:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Na tunda la haki linapandwa katika amani na wale wanaopenda amani.

Gade chapit la Kopi




Yakobo 3:18
13 Referans Kwoze  

Heri wale wanaoleta amani, maana wataitwa watoto wa Mungu!


Mupande haki kwa faida yenu, nanyi mutavuna wema; mulime mashamba yaliyoachwa, maana wakati wa kutafuta Yawe umefika kusudi awanyeshee haki kama mvua.


Maisha yenu yatajazwa matendo ya haki ambayo Yesu Kristo anayowajalia, kwa ajili ya utukufu na sifa ya Mungu.


Anayepanda kwa kupendeza hali yake ya kimwili, atavuna matunda yanayotokana na hali ile, nayo ni lufu. Lakini anayepanda kwa kupendeza Roho Mutakatifu, atavuna matunda yanayotokana na Roho yule, nayo ni uzima wa milele.


Tunda la mwenye haki ni muti wa uzima, na mwenye hekima anavuta watu.


Maadibisho yoyote wakati yanapotolewa yanaonekana kama ni tendo la huzuni wala si la furaha. Lakini kwa mwisho yanawaletea wale waliofundishwa nayo, maisha ya amani na ya haki.


Faida mwovu anayopata ni ya uongo, lakini anayetenda mema, hakika atapata faida.


Kwa maana mutu mwenye kasirani hawezi kutimiza mambo ya haki mbele ya Mungu.


Muvunaji anakwisha kupokea mushahara, naye anakusanya mavuno kwa ajili ya uzima wa milele, kusudi mupandaji na muvunaji wafurahi pamoja.


Farasi wanaweza kukimbia katika mawe makubwa? Watu wanaweza kulima bahari na ngombe? Lakini ninyi mumeigeuza sheria kuwa sumu, na tunda la haki kuwa uchungu.


Anayetegemea mali zake ataanguka, lakini mwenye haki atastawi kama jani bichi.


Kama miti iliyopandwa katika nyumba ya Yawe, wanastawi katika viwanja vya Mungu wetu;


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite