Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yakobo 2:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Jambo hilo halionyeshi kwamba munafanya ubaguzi, na kwamba kwa kuamua vile munaongozwa na mawazo mabaya?

Gade chapit la Kopi




Yakobo 2:4
12 Referans Kwoze  

Muache kuhukumu kufuatana na hali ya inje, lakini muhukumu kwa haki.”


Yeye hawapendelei wakubwa, wala kuwajali watajiri kuliko wamasikini, maana wote hao ni kazi ya mikono yake.


Wandugu, musisemeane ubaya. Yule anayesema ubaya juu ya ndugu yake au kumuhukumu, anasema ubaya juu ya Sheria na kuihukumu. Ukihukumu Sheria, wewe si mwenye kutii Sheria, lakini mwenye kuihukumu.


Nami vilevile nitawafanya muzarauliwe na kuchekelewa na Waisraeli, kwa sababu hamukuzifuata njia zangu, na munapowafundisha watu wangu munapendelea wamoja kati yao. –Ni Yawe wa majeshi anayesema hivyo.


“Mpaka wakati gani mutaendelea kuhukumu bila haki na kuwapendelea watu waovu?


Kwa mukubwa wa waimbaji. Kwa mutindo wa wimbo “Usiharibu.” Mashairi ya Daudi.


kwa maana yeye anamutetea mukosefu, kwa kumwokoa kutoka kwa wale wanaomuhukumu kufa.


Musikilize! Mimi ninajua mawazo yenu yote, na mipango yenu ya kunizarau.


Halafu Bwana akasema: “Musikilize jinsi mwamuzi huyu mubaya anavyosema!


Lakini hekima inayotoka mbinguni, kwanza ni safi, tena ni yenye amani, upole na usikilivu, inajaa huruma na matendo mema. Haina upendeleo wala udanganyifu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite