11 Kwa maana yule aliyesema “Usizini”, ndiye aliyesema vilevile “Usiue”. Basi ikiwa wewe huzini lakini unaua, wewe unavunja Sheria.
Kwa hiyo amri hizi: “Usizini, usiue, usiibe, usitamani,” pamoja na zingine zote, zinafungwa katika amri hii moja: “Umupende mwenzako sawa vile unavyojipenda mwenyewe.”
Unajua jinsi amri zinavyosema kwamba: ‘Usizini, usiue, usiibe, usishuhudie uongo, uwaheshimu baba yako na mama yako.’ ”
Unajua jinsi amri zinavyosema kwamba: ‘Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo, usidanganye, uwaheshimu baba yako na mama yako.’ ”
Naye akauliza: “Amri gani?” Yesu akamujibu: “Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo,
Ikiwa Waisraeli wote pamoja wametenda zambi bila kukusudia kwa kufanya kitu kilichokatazwa na amri ya Yawe,
Ikiwa mutawala ametenda zambi bila kukusudia kwa kufanya kitu kilichokatazwa na amri ya Yawe, Mungu wake, na hivyo akakuwa na kosa,
Uwaambie watu wa Israeli hivi: Kama mutu akitenda zambi bila kukusudia, akifanya kitu kilichokatazwa na amri ya Yawe, atafanya hivi: