Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yakobo 1:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Mutu wa namna hiyo asizani kwamba atapokea kitu chochote kutoka kwa Bwana,

Gade chapit la Kopi




Yakobo 1:7
7 Referans Kwoze  

Wakati munapoomba, hamupati kitu kwa sababu munaomba kwa nia mbaya, kwa maana munataka vitu kusudi mutimize tu tamaa zenu.


Munapoinua mikono yenu kwa kuomba, nitauficha uso wangu nisiwaone. Hata mukiomba sana sitawasikia, maana mikono yenu imejaa damu.


Sadaka ya mwovu ni kitu cha kuchukiza sana. Inachukiza zaidi akiitoa kwa nia mbaya.


Sadaka ya waovu ni chukizo kwa Yawe, lakini maombi ya watu wa usawa yanamufurahisha Mungu.


Lakini inafaa aombe kwa imani pasipo kuwa na mashaka. Kwa maana mutu anayekuwa na mashaka anafanana na zoruba katika bahari inayosukumwa na upepo na kutupa maji huku na huko.


kwa sababu ni mutu wa nia mbili, na mwenye kugeukageuka katika mwenendo wake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite