Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Yakobo 1:23 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

23 Kwa maana mutu anayesikia neno tu pasipo kulitimiza, anafanana na mutu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo.

Gade chapit la Kopi




Yakobo 1:23
8 Referans Kwoze  

Nitawaonyesha mufano wa mutu anayenifuata, anayesikia maneno yangu na kuyashika:


Juu ya neno ulilotuambia kwa jina la Yawe, hatutakusikiliza.


Walimu wa Sheria na Wafarisayo wakamuchunguza Yesu kusudi waone kama ataponyesha mutu kwa siku ya Sabato. Walifanya vile kusudi wapate sababu ya kumushitaki.


Kwa maana wakati wa sasa tunaona kama mwenye kuangalia ndani ya kioo kisichoonyesha wazi, lakini wakati utakaokuja tutaona waziwazi. Kwa sasa ninajua tu mambo machache, lakini nyuma nitajua kwa utimilifu kama vile Mungu anavyonijua mimi.


Kisha kujiangalia, anajiendea, na mara moja anasahau namna anavyokuwa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite