Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Walawi 7:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Kuhani anayetolea sadaka ya kuteketezwa ya mutu yeyote, atatwaa ngozi ya nyama aliyetolewa.

Gade chapit la Kopi




Walawi 7:8
9 Referans Kwoze  

Lakini Bwana Yesu akuwe kama vile silaha munayobeba, musijiachilie kuvutwa na hali yenu ya kimwili hata mutimize tamaa zake.


Ngombe huyo muzima atateketezwa kwa moto mbele ya kuhani. Kila kitu chake kitateketezwa; ngozi, nyama, damu na mavi yake.


Lakini ngozi ya huyo ngombe, nyama, kichwa, miguu, matumbotumbo na mavi yake,


Huyo mutu atachuna huyo nyama wa sadaka ya kuteketezwa na kumukata vipandevipande.


Lakini nyama ya ngombe dume yule pamoja na ngozi na mavi yake utavitwaa na kuviteketeza inje ya kambi yenu. Hii itakuwa sadaka ya kuondoa zambi.


Yawe Mungu akawatengenezea Adamu na muke wake nguo za ngozi, akawavalisha.


Sheria ni moja kuelekea sadaka kwa ajili ya kosa na sadaka kwa ajili ya zambi. Kuhani anayefanya ibada ya upatanisho ndiye atakayeitwaa.


Sadaka yoyote ya ngano iliyopikwa juu ya mafika katika chungu au katika kikaango itakuwa mali ya kuhani anayeitolea.


Watapata mafungu yao sawa ya kula, ingawa wako na mapato kutokana na kuuzisha mali za jamaa zao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite