Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Walawi 4:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Hizi ni sehemu zilezile zinazoondolewa kwa nyama wa sadaka ya amani. Kuhani ataziteketeza juu ya mazabahu ya kuteketezea sadaka.

Gade chapit la Kopi




Walawi 4:10
3 Referans Kwoze  

figo mbili na mafuta yanayokuwa juu yake na yale yanayokuwa kwenye kiuno na yale yanayoshikamana na figo na maini.


Lakini ngozi ya huyo ngombe, nyama, kichwa, miguu, matumbotumbo na mavi yake,


Mafuta yote yanayofunika na yanayokuwa juu ya matumbotumbo ya nyama wa sadaka hiyo ya amani atayateketeza kama sadaka Yawe anayotolewa kwa moto.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite