Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Walawi 26:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Watano wenu watafukuza waadui mia moja na mia moja wenu watafukuza waadui elfu kumi. Waadui zenu wataangamia mbele yenu kwa upanga.

Gade chapit la Kopi




Walawi 26:8
15 Referans Kwoze  

Mutu wenu mumoja tu anaweza kuwakimbiza waadui elfu moja, maana Yawe Mungu wenu ndiye anayewapigania kama alivyowaahidi.


Waadui zenu wakiwashambulia, Yawe atawapa ushindi juu yao. Wakikuja kuwashambulia kwa njia moja watawakimbia kwa njia saba.


Mutu mumoja anaweza namna gani kuwashinda watu elfu moja, au watu wawili wanaweza namna gani kuwashinda watu elfu kumi, isipokuwa kama mulinzi wao amewatupa, Yawe amewaacha?


Abisai, ndugu ya Yoabu, alikuwa mukubwa wa mashujaa makumi tatu. Yeye alipigana kwa mukuki wake na watu mia tatu, akawaua, akajipatia jina kati ya wale mashujaa watatu.


Lakini musimwasi tu Yawe, wala musiwaogope wenyeji wa inchi hiyo. Maana wao ni kama mboga tu kwetu. Kingo yao imekwisha kuondolewa kwao naye Yawe yuko pamoja nasi. Musiwaogope!


Haya ndiyo majina ya mashujaa wale wa Daudi: Yasobeamu, wa ukoo wa Hakemoni, aliyekuwa kiongozi wa “Wale makumi tatu.” Yeye alipigana kwa mukuki wake akaua watu mia tatu kwa mara moja katika vita.


Mutafukuza waadui zenu na kuwaua kwa upanga.


Samusoni akaona mufupa mubichi wa taya ya punda, akautumia kuwaua watu elfu moja.


Wayuda waliokuwa katika majimbo nao vilevile wakajitayarisha kuyalinda maisha yao. Wakaokolewa kutoka kwa waadui zao, wakawaua watu yapata elfu kumi na tano, lakini hawakunyanganya mali zao.


Siku hiyo, mimi Yawe nitawalinda wakaaji wa Yerusalema. Wanaokuwa wazaifu zaidi kati yao watakuwa na nguvu kama mufalme Daudi. Wazao wa Daudi watashika usukani kwa kuwaongoza watu wa Yuda kama Mungu, au kama malaika wa Yawe.


Kutoka kila kabila la Israeli, mutapeleka watu elfu moja kwa vita.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite