Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Walawi 21:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Kwa sababu kuhani ametakaswa kwa ajili ya Mungu wake, asioe kahaba wala mwanamuke asiyekuwa bikira wala aliyefukuzwa na mume wake.

Gade chapit la Kopi




Walawi 21:7
7 Referans Kwoze  

Kuhani yeyote asioe mwanamuke mujane wala mwanamuke aliyeachana na mume wake. Lakini atamwoa bikira ambaye ni Mwisraeli au mwanamuke aliyefiwa na mume wake aliyekuwa kuhani.


Utamutambua kuhani kuwa aliyetakaswa, maana yeye ndiye anayetolea sadaka ya mukate wa Mungu wako. Utamutambua kuwa mutakatifu, maana mimi Yawe ninayekutakasa wewe ni mutakatifu.


Wanawake wao wanapaswa kuwa na adabu vilevile, wasikuwe wasingiziaji wa uongo, lakini wakuwe wakadirifu na waaminifu katika mambo yote.


Yawe anasema hivi: Kama nimeachana na mama yako Yerusalema, barua ya kuachana iko wapi? Nilikuwa na deni ya nani kwa kuwauzisha? Mukumbuke kwamba muliuzishwa kwa ajili ya maovu yenu, mama yenu alifukuzwa kwa ajili ya makosa yenu.


Kisha miezi mitatu, Yuda akapata habari hii: “Tamari, muke wa mwana wako amekuwa kahaba, tena amepata mimba kwa kufanya ukahaba.” Basi, Yuda akaamuru: “Mumutoshe inje achomwe kwa moto!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite