4 Ninyi mutafuata maagizo yangu na kushika masharti yangu. Mimi ni Yawe, Mungu wenu.
Uwaambie watu wa Israeli hivi: Mimi ni Yawe, Mungu wenu.
Ninyi ni warafiki zangu, kama mukifanya sawa ninavyowaagiza.
Nitatia roho yangu ndani yenu; nitawafanya mufuate masharti yangu na kushika maagizo yangu.
Mimi Yawe ni Mungu wenu. Mufuate masharti yangu, mushike maagizo yangu kwa uangalifu.
Ee Mungu, umetupatia kanuni zako kusudi tuzishike kwa uangalifu.
“Hii ndiyo amri, masharti na maagizo ambayo Yawe, Mungu wenu, aliniamuru niwafundishe, kusudi muyatimize katika inchi munayokwenda kuirizi.
Munapaswa kushika na kutimiza masharti yangu na maagizo yangu yote. Kama sivyo inchi ile ambamo ninawapeleka itawatapika.
Munapaswa kushika na kutimiza masharti yangu na maagizo yangu. Mimi ni Yawe.
Lakini ninyi na wageni wanaokaa kati yenu munapaswa kushika masharti yangu na maagizo yangu na wala musifanye machukizo hayo.
Wote wawili walikuwa wenye haki mbele ya Mungu, walishika kwa ukamilifu amri na maagizo yote ya Bwana.
Mutumishi wangu Daudi atakuwa mufalme wao; watakuwa na muchungaji mumoja tu. Watayafuata maagizo yangu na kushika masharti yangu.
kusudi watu wake watii masharti yake, na kufuata sheria zake. Haleluia!
Munapaswa kushika masharti yangu na maagizo yangu: yule anayeyashika ataishi. Mimi ni Yawe.
Unapaswa kuyashika masharti yangu. Usiiache mifugo yako ipandiwe na nyama wa aina nyingine. Usipande mbegu za aina mbili katika shamba lako. Usivae nguo iliyofumwa kwa aina mbili za nguo.