Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Walawi 17:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Kama mutu yeyote kati ya Waisraeli akichinja ngombe au mwana-kondoo au mbuzi ndani au inje ya kambi,

Gade chapit la Kopi




Walawi 17:3
11 Referans Kwoze  

Mutu yeyote akuwe ni mwenyeji au mugeni, anayekula chochote kilichokufa chenyewe au kilichouawa na nyama wa pori anapaswa kufua nguo zake na kuoga. Atakuwa muchafu mpaka magaribi. Nyuma ya hapo atakuwa safi.


Uwaambie kwamba mutu yeyote kati ya Waisraeli au mugeni anayeishi kati yao, anayetoa sadaka ya kuteketezwa au sadaka ingine,


Uwaambie Haruni, wana wake na watu wote wa Israeli maagizo haya:


bila kumuleta nyama huyo kwenye mulango wa hema la mukutano kwa kumutolea Yawe mbele ya makao yake, mutu yule atakuwa na kosa ya kumwanga damu. Amemwanga damu na atatengwa na watu wake.


Kwa wakati ule, watu walikuwa wakitoa sadaka kule juu ya vilima, kwa kuwa nyumba ya Mungu ilikuwa bado haijajengwa.


Ataweka mukono wake juu ya kichwa cha nyama huyo na kumuchinja kwenye mulango wa hema la mukutano. Hao makuhani wazao wa Haruni watainyunyizia mazabahu damu yake pande zake zote.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite