4 Kitanda chochote atakacholalia au atakachoikalia, kitakuwa kichafu.
Kila kitu ni safi kwa watu wanaokuwa safi. Lakini hakuna chochote kinachokuwa safi kwa watu wachafu na wasiomwamini Mungu, kwa maana akili na zamiri zao zimekuwa chafu.
Musishiriki katika matendo ya giza yasiyofaa, lakini muyafichue.
Musidanganyike: “Warafiki wabaya wanaharibu tabia nzuri za watu.”
Na hii ndiyo sheria juu ya uchafu huo: muda wote anapotokwa na usaha au usaha unapokuwa umezuiwa ndani yake, mutu yule ni muchafu.
Mutu yeyote atakayegusa kitanda cha mutu yule anapaswa kufua nguo zake na kuoga. Atakuwa muchafu mpaka magaribi.