Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Walawi 15:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Na hii ndiyo sheria juu ya uchafu huo: muda wote anapotokwa na usaha au usaha unapokuwa umezuiwa ndani yake, mutu yule ni muchafu.

Gade chapit la Kopi




Walawi 15:3
5 Referans Kwoze  

Aliwatamani sana wanaume wenye viungo kama viungo vya punda na wenye kuwaka tamaa kama farasi dume.


Tena ulifanya uzinzi na jirani zako Wamisri waliojaa tamaa, ukaongeza uzinzi wako na kuichochea hasira yangu.


Mutoto huyo atatahiriwa katika siku yake ya nane.


Uwaambie Waisraeli hivi: Mwanaume yeyote akitokwa na usaha, usaha huo unamufanya kuwa muchafu.


Kitanda chochote atakacholalia au atakachoikalia, kitakuwa kichafu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite