Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Walawi 14:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Kuhani atakwenda kumwangalia yule mutu inje ya kambi. Ikiwa ukoma huo umepona,

Gade chapit la Kopi




Walawi 14:3
14 Referans Kwoze  

Ataendelea kuwa muchafu kwa muda wote anaokuwa na ugonjwa ule. Yeye ni muchafu, naye atakaa peke yake inje ya kambi.


Halafu Yesu akawajibu wale wajumbe: “Mwende kumwelezea Yoane mambo muliyoona na kusikia: vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanapata kusikia, wafu wanafufuliwa na Habari Njema inahubiriwa kwa wamasikini.


Vilevile kulikuwa watu wengi wenye ukoma katika Israeli katika siku za nabii Elisha, lakini hakuna mumoja kati yao aliyetakaswa, isipokuwa tu Namani wa inchi ya Suria.”


vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanapata kusikia, wafu wanafufuliwa na Habari Njema inahubiriwa kwa wamasikini.


Muponyeshe wagonjwa, mufufue wafu, mutakase wenye ukoma, mufukuze pepo. Mulipokea bure, mutoe bure vilevile.


Maana yeye anaumiza na tena anatunza, anatia kidonda na kwa mukono wake anaponyesha.


Basi, Namani akateremuka kwenye muto Yordani akajitumbukiza mule mara saba, kama alivyoagizwa na Elisha mutu wa Mungu, naye akapona kabisa. Ngozi yake ikakuwa laini na yenye afya kama ya mutoto mudogo.


Siku moja akamwambia bibi yake, muke wa Namani: “Ingekuwa heri bwana wangu angekwenda na kumwona yule nabii anayekuwa Samaria! Angemuponyesha ugonjwa wake.”


akawaambia: “Ikiwa mutaisikiliza kwa uaminifu sauti yangu mimi Yawe, Mungu wenu, kutenda yale yanayokuwa sawa mbele yangu, na kuheshimu amri na masharti yangu yote, basi, mimi sitawaletea yale magonjwa niliyowaletea Wamisri. Kwa sababu, mimi ni Yawe ninayewaponya ninyi.”


Ikiwa mutu yeyote atakuwa na kivimba au upele au chunuku juu ya mwili wake, ikionekana kwamba ni ukoma, basi, ataletwa kwa kuhani Haruni au mumoja wa wana wake anayekuwa kuhani.


Lakini ikiwa kisha kuchunguza nyumba hiyo, kuhani akiona kwamba taka halikuenea kisha kupigwa lipu, basi, kuhani atatangaza kwamba nyumba hiyo ni safi maana taka limekwisha.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite