Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Walawi 13:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Kama mutu ameshikwa na ukoma, ataletwa kwa kuhani.

Gade chapit la Kopi




Walawi 13:9
3 Referans Kwoze  

Ikiwa mutu yeyote atakuwa na kivimba au upele au chunuku juu ya mwili wake, ikionekana kwamba ni ukoma, basi, ataletwa kwa kuhani Haruni au mumoja wa wana wake anayekuwa kuhani.


Kuhani atamwangalia tena, na kama ule upele umeenea kwenye ngozi, basi, kuhani atamutangaza mutu yule kuwa muchafu, huo ni ukoma.


Kuhani atamwangalia na kama kivimba cheupe ambacho kimefanya nywele zake zikuwe nyeupe na kivimba kile kimegeuka kuwa kidonda kibichi,


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite