Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Walawi 12:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Lakini, kama amezaa mutoto mwanamuke, basi, atakuwa muchafu kwa muda wa majuma mawili kama vile inavyokuwa kwa wakati wa ugonjwa wake wa mwezi. Ataendelea katika kutakasika kwake kwa muda wa siku makumi sita na sita.

Gade chapit la Kopi




Walawi 12:5
5 Referans Kwoze  

Kisha mama wa mutoto ataendelea kuwa muchafu kwa muda wa siku makumi tatu na tatu. Wakati huo, asiguse chochote kilichotakaswa wala kuingia Pahali Patakatifu mpaka siku za kutakasika kwake zitakapotimia.


Uwaambie watu wa Israeli hivi: Mwanamuke akipata mimba na kuzaa mutoto mwanaume, atakuwa muchafu kwa muda wa siku saba sawa vile anavyokuwa kwa wakati wake wa ugonjwa wa mwezi.


Yawe Mungu akamwuliza yule mwanamuke: “Umefanya nini wewe?” Mwanamuke akamujibu: “Nyoka alinidanganya, nami nikakula.”


Siku za kutakaswa kwake zitakapotimia, ikuwe amepata mutoto mwanaume au mwanamuke, atamuletea kuhani kwenye mulango wa hema la mukutano mwana-kondoo wa mwaka mumoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na kitoto cha njiwa au hua, kwa ajili ya sadaka ya zambi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite