Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Walawi 11:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Samaki yeyote wa bahari au muto mwenye mapezi na magamba, munaweza kumukula.

Gade chapit la Kopi




Walawi 11:9
7 Referans Kwoze  

Lakini mutu anaweza kusema: “Wewe uko na imani, na mimi niko na matendo.” Mimi nitajibu: “Unionyeshe imani yako pasipo matendo, na mimi nitakuonyesha imani yangu kwa njia ya matendo yangu.”


Kwa maana kwa wale wanaoungana na Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa hakufai kitu. Kitu kinachofaa ni imani inayotenda kazi kwa upendo.


Nimewaonya Wayuda wa mataifa mengine kwamba wanapaswa kumugeukia Mungu na kumwamini Bwana wetu Yesu Kristo.


Kwa sababu nyama hao ni wachafu, musikule nyama yao wala musiguse mizoga yao.


Lakini chochote kinachoishi katika bahari au ndani ya mito, ambacho hakina mapezi wala magamba, maana viumbe vyote vinavyotembea ndani ya maji na viumbe vingine vyote vinavyoishi ndani ya maji ni vichafu kwenu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite