Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Walawi 11:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Wawaambie Waisraeli hivi:

Gade chapit la Kopi




Walawi 11:2
22 Referans Kwoze  

Hizo ni kanuni za kimutu zinazoelekea vyakula na vinywaji pamoja na desturi mbalimbali za utakaso za kidini. Nazo zinaamuriwa kushikwa mpaka upate kutimia wakati wa kutengeneza vitu vyote upya.


Kitu kinachoingia ndani ya kinywa cha mutu hakiwezi kumuchafua. Lakini ni kile kinachotoka ndani ya kinywa chake ndicho kinachomuchafua.”


Viumbe hivyo vitakuwa siku zote vichafu kwenu. Musikule nyama yao, wala musiguse mizoga yao maana ni chafu.


Musidanganywe na mafundisho mengine ya kigeni ya kila namna. Kwa maana mioyo yetu inapaswa kutiwa nguvu kwa njia ya neema ya Mungu, wala si kwa njia ya kushika kanuni zinazoagizwa juu ya vyakula. Kanuni hizo haziwafalii kitu wale wanaozishika.


Lakini Danieli aliamua kutojichafua kwa kula chakula bora cha mufalme na kunywa divai yake. Kwa hiyo, alimwomba yule mukubwa amuruhusu asikule vitu hivyo na kujichafua.


Halafu nikamwambia hivi: Ee, Bwana wangu Yawe, sijajichafua hata kidogo kwa kula nyamafu wala nyama aliyeuawa na nyama wa pori, wala sijapata kuonja nyama anayehesabiwa kuwa muchafu tangu ujana wangu.


Ikiwa nyama yeyote munayeruhusiwa kula, anakufa mwenyewe, yeyote atakayegusa muzoga wake, atakuwa muchafu mpaka magaribi.


Chakula au kinywaji chochote kilichokuwa ndani ya chombo hicho kitakuwa kichafu.


Viumbe hivi ni vichafu kwenu: fuko, panya, kila aina ya mujusi,


Lakini, kati ya wadudu wenye mabawa na wanaotembea kwa miguu mine mirefu kwa kurukia juu ya udongo munaweza kula.


Ndege hawa wote ni wachafu kwenu. Kwa hiyo, musiwakule: tai, furukombe, kipungu,


Samaki yeyote wa bahari au muto mwenye mapezi na magamba, munaweza kumukula.


Lakini musikule nyama yeyote ambaye anacheua lakini kwato zake hazigawanyiki sehemu mbili, au ambaye kwato zake zimegawanyika lakini hacheui. Musikule ngamia, maana anacheua lakini kwato zake hazigawanyiki sehemu mbili. Kwenu huyo ni muchafu.


Yawe akawaambia Musa na Haruni:


Kati ya nyama wote katika dunia, mumeruhusiwa kula nyama yeyote mwenye kwato zinazogawanyika sehemu mbili na ambaye anacheua.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite