5 Wakatwaa maiti za wandugu zao na kuzipeleka inje ya kambi wakiwa wamevaa nguo zao, kama vile Musa alivyoamuru.
Kisha Musa akawaleta wana wa Haruni akawavalisha koti na kuwafunga mikaba kwenye viuno, na kuwavalisha kofia kama vile alivyoamuriwa na Yawe.
Kisha utatwaa zile nguo za kikuhani umuvalishe Haruni: koti, kanzu, kizibao, kifuko cha kifua, na kumufunga ule mukaba uliofumwa kwa ufundi.
Muzee akaenda, akaikuta maiti ya mutu wa Mungu katika barabara, simba na punda wake pembeni yake. Yule simba hakuikula maiti wala hakumushambulia punda.