Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Walawi 1:15 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

15 Kuhani ataleta ndege huyo kwenye mazabahu, atakongonyoa kichwa chake na kukiteketeza juu ya mazabahu. Damu yake itanyunyiziwa kwenye ubavu wa mazabahu.

Gade chapit la Kopi




Walawi 1:15
10 Referans Kwoze  

Lakini Kristo amemimia Roho juu yenu. Na kufuatana na vile Roho yule anavyokaa ndani yenu, hamuhitaji kufundishwa na mutu, kwa maana Roho wake anawafundisha mambo yote. Roho yule anasema ukweli wala hasemi uongo. Basi kama vile Roho alivyowafundisha, mukae ndani ya Kristo.


Yawe alipenda kumuponda kwa mateso. Alitoa uzima wake kwa ajili ya kuondoa zambi. Mutumishi wa Mungu atakuwa na wazao; ataishi maisha marefu. Yeye ndiye atakayetimiza mupango wa Yawe.


Uokoe nafsi yangu toka upanga, uokoe maisha yangu toka mikono ya imbwa hao!


Kwa mukubwa wa waimbaji. Mutindo wa wimbo “Swala wa mapambazuko”.


Ikakuwa hivyo, kwa maana alipoamuka asubui kesho yake, alikamua umande uliokuwa juu ya ile ngozi, akajaza bakuli.


Hata watu wa Mungu wanawafuata, hawaoni kwao kitu chochote kibaya na kusadiki kila wanachosema.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite