Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Wafilipi 3:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Lakini mimi vilevile niko na haki ya kuweka tumaini katika mambo ya kimwili. Kama kuna mutu anayejizania kuwa na sababu ya kutumainia mambo ya kimwili, mimi ninamupita.

Gade chapit la Kopi




Wafilipi 3:4
4 Referans Kwoze  

“Basi mufanye angalisho na jinsi munavyosikia maneno. Kwa maana mutu anayekuwa na kitu, ataongezewa kingine, lakini mutu asiyekuwa na kitu, atanyanganywa kile anachozania kuwa nacho.”


Kwa hiyo basi, tangu sasa hatumuhesabu tena mutu yeyote kufuatana na hali ya kimutu. Hata ikiwa tulimuhesabu Kristo kufuatana na hali ya kimutu, kwa sasa hatumuhesabu tena kufuatana na hali ile.


Hakika sisi Wayuda wa kizalikio hatuko watu wa mataifa mengine, hao wenye zambi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite