Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waefeso 5:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 (Kwa maana ni haya kusema juu ya mambo watu hao wanayofanya kwa siri.)

Gade chapit la Kopi




Waefeso 5:12
12 Referans Kwoze  

Kama vile inavyowapasa watu wa Mungu kuishi, tendo lolote la uasherati, la uchafu wala la tamaa ya mali lisisikilike kati yenu.


Hiyo ndiyo itakayotokea siku ile Mungu atakapohukumu mambo ya siri ya watu kwa njia ya Yesu Kristo, kama vile Habari Njema yangu inavyosema.


Mutu anaweza kujificha pahali pa siri hata nisiweze kumwona? –Ni ujumbe wa Yawe!– Hamujui kwamba niko kila pahali, katika mbingu na katika dunia? –Ni ujumbe wa Yawe!–


Maana, Mungu atahukumu matendo yote, hata yale yanayotendwa kwa siri, yakuwe mazuri au mabaya.


Wewe ulifanya jambo hilo kwa siri, lakini mimi nitayafanya hayo mbele ya Waisraeli wote waziwazi.’ ”


Nikaona wale waliokufa, wakubwa na wadogo wakisimama mbele ya kile kiti cha kifalme. Vitabu vikafunguliwa na kitabu kingine kikafunguliwa ndicho kitabu cha uzima. Wale waliokufa wakahukumiwa kufuatana na matendo yao sawa vile ilivyoandikwa katika vitabu.


Kufuatana na hiyo, zamani mulipitisha siku nyingi mukifanya matendo yanayolingana na ya wapagani. Mulizoea kuishi katika uasherati, tamaa mbaya, ulevi, karamu za ulafi, za ulevi na kuabudu sanamu.


“Maji yaliyoibwa ni matamu sana; mukate unaokuliwa kwa siri ni muzuri sana.”


Musishiriki katika matendo ya giza yasiyofaa, lakini muyafichue.


Lakini matendo yale yote yanapofunuliwa katika mwangaza, yanaonekana wazi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite