Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waefeso 1:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

16 mimi sichoki kumushukuru Mungu kwa ajili yenu. Ninawakumbuka katika maombi yangu.

Gade chapit la Kopi




Waefeso 1:16
11 Referans Kwoze  

Kwa sababu hii hatuchoki kuwaombea ninyi, tangu siku tuliposikia habari zenu. Tunamwomba Mungu awawezeshe kujua kabisa mapenzi yake na kuwajaza hekima na akili inayotoka kwa Roho wake.


Tunamushukuru Mungu, Baba ya Bwana wetu Yesu Kristo kila mara tunapowaombea ninyi.


Wandugu, tunapaswa kumushukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu. Inatufaa kufanya vile kwa maana imani yenu inaongezeka, nao upendo wenu ninyi kwa ninyi unazidi kuongezeka.


Tunamushukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu ninyi wote. Nasi tunawakumbuka katika maombi yetu bila kuchoka.


Tena kwa upande wangu haitatokea niache kuwaombea kwa Yawe; kufanya hivyo itakuwa kumukosea Yawe. Nitaendelea kuwafundisha njia njema na ya haki.


Juu ya kuta zako, ee Yerusalema, nimeweka walinzi, usiku na muchana hawatakaa kimya hata kidogo. Enyi munaomukumbusha Yawe ahadi yake, musikae kimya;


Basi, wakamwambia Samweli: “Usiache kumulilia Yawe, Mungu wetu, kwa ajili yetu. Endelea kumulilia atuokoe kutokana na Wafilistini.”


Lakini tafazali usinisahau wakati mambo yatakapokuendea wewe vizuri. Unitendee mema na kusema juu yangu mbele ya mufalme, nipate kutoka humu katika kifungo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite