Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waebrania 7:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

11 Ukuhani ndio ulikuwa musingi wa Sheria iliyotolewa kwa Waisraeli. Basi ikiwa ukamilifu ulipatikana kwa njia ya kazi ya ukuhani wa uzao wa Lawi, hakungekuwa tena lazima kutokee kuhani mwingine anayekuwa sawa na Melkisedeki, kwa pahali pa kuhani anayekuwa sawa na Haruni.

Gade chapit la Kopi




Waebrania 7:11
17 Referans Kwoze  

Kama lile agano la kwanza lingekuwa kamilifu, haingekuwa lazima likombolewe na la pili.


Mimi sitaki kukataa neema ya Mungu kwa maana ikiwa wanaweza kuhesabiwa haki mbele ya Mungu, kwa njia ya kushika Sheria, basi Kristo alikufa bure.


Lakini Yesu amewekwa kuwa kuhani kwa njia ya kiapo, wakati Mungu alipomwambia: “Bwana ameapa, naye hatageuka: ‘Wewe ni kuhani kwa milele.’ ”


Tena jambo hili linaloonyesha wazi zaidi maneno haya: kumetokea kuhani mwingine anayefanana na Melkisedeki.


Vilevile alisema pahali pengine katika Maandiko: “Wewe ni kuhani hata milele kwa mufano wa Melkisedeki.”


Lakini sasa munamujua Mungu, au afazali tuseme kwamba sasa munajulikana naye. Basi namna gani mumerudilia tena vitu vinavyotawala dunia, visivyokuwa na uwezo na vikosefu, mukitaka kuwa watumwa tena?


Yesu alitangulia kuingia pahali pale kwa ajili yetu. Amekuwa Kuhani Mukubwa hata milele, kwa mufano wa Melkisedeki.


Basi, Mungu alitangaza kwamba yeye ni Kuhani Mukubwa kwa mufano wa Melkisedeki.


Na sisi vilevile tulipokuwa tungali kama watoto, tulikuwa watumwa wa vitu vyenye uwezo vilivyotawala dunia.


Kwa maana ingawa Lawi alikuwa hajazaliwa bado, alikuwa yuko ndani ya damu ya babu yake Abrahamu, wakati Melkisedeki alipokutana naye.


Kwa maana wakati ukuhani unapobadilika, Sheria nayo inapaswa kubadilika vilevile.


Naye Bwana wetu ambaye maneno haya yanamwelekea, alikuwa mutu wa kabila lingine, wala hakuna hata mutu mumoja wa kabila lake aliyefanya kazi ya ukuhani kwenye mazabahu.


Ni hivi ndivyo walivyopanga vitu vile vyote. Halafu makuhani waliingia kila siku katika kile chumba cha kwanza kwa kufanya kazi za ibada.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite