Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waebrania 4:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Na tena, katika Maandiko tuliyotaja hapa juu, Mungu anasema: “Hawataingia hata kidogo kwenye mapumziko niliyowatayarishia.”

Gade chapit la Kopi




Waebrania 4:5
3 Referans Kwoze  

Basi, nikaapa kwa kasirani kwamba hawataingia kwenye mapumziko niliyowatayarishia.”


Lakini sasa sisi tulioamini, tutaingia kwenye mapumziko ambayo Mungu alitaja aliposema: “Halafu nikaapa kwa kasirani kwamba hawataingia hata kidogo kwenye mapumziko niliyowatayarishia!” Mungu alisema vile ingawa alikuwa amemaliza kazi zake tangu pale alipoumba dunia.


Basi nikaapa kwa kasirani kwamba hawataingia kwenye mapumziko niliyowatayarishia!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite