Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waebrania 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Tena maneno haya yanahakikishwa na pahali pengine katika Maandiko Matakatifu: “Mutu ni nini hata umukumbuke, mwanadamu ni nini hata umushugulikie?

Gade chapit la Kopi




Waebrania 2:6
16 Referans Kwoze  

Ee Yawe, mutu ni nini hata umujali? Mwanadamu ni nini hata ufikiri juu yake?


Yawe anasema hivi: Mimi, kweli mimi, ndiye ninayekufariji. Kwa nini wewe unamwogopa mutu ambaye ni wa kufa, mwanadamu ambaye anatoweka kama majani?


ni nini sasa mutu ambaye ni kidudu, mwanadamu ambaye ni nondo tu!


Mutu ni nini hata aweze kuwa na moyo safi? Yule aliyezaliwa na mwanamuke atapata kuwa mwenye haki?


Kwa maana imesemwa pahali fulani katika Maandiko Matakatifu juu ya siku ya saba: “Siku ya saba, Mungu akapumzika kwa maana alikuwa amemaliza kazi zake zote.”


Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao alitangulia kushuhudia mateso yatakayomupata Kristo na utukufu utakaokuwa nyuma. Nao walijitolea kusudi wapate kuvumbua wakati gani na kwa njia gani mambo haya yatafanyika.


Watu wote wakashikwa na woga, nao wakamutukuza Mungu, wakisema: “Nabii mukubwa ametokea tena kwetu! Mungu amekuja kuwasaidia watu wake.”


Kisha Yosefu akawaambia wandugu zake: “Mimi sasa ninakaribia kufa. Lakini Mungu hakika atawafikia kwa kuwasaidia. Atawatoa katika inchi hii na kuwapeleka katika inchi aliyowaapia Abrahamu, Isaka na Yakobo.”


Vilevile alisema pahali pengine katika Maandiko: “Wewe ni kuhani hata milele kwa mufano wa Melkisedeki.”


Kutokana na huruma kubwa ya Mungu wetu, atatutumia mwangaza kutoka juu.


“Asifiwe Bwana, Mungu wa Waisraeli, maana amewasaidia watu wake na kuwakomboa.


Mataifa yote si kitu mbele yake; kwake ni vitu vya ovyo na bure kabisa.


Kuelekea maneno hayo, mutu yeyote asimukosee ndugu yake wala kumudanganya. Tumekwisha kuwaambia na kuwahakikishia mbele kwamba Bwana atawaazibu wale wanaofanya mambo kama hayo.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite