15 Vilevile aliwafungua wale wote walioishi kama watumwa katika maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa lufu.
Kwa maana hamukupewa roho anayewafanya muishi katika utumwa na kuwatia tena woga, lakini mulipewa Roho anayewafanya mukubaliwe kuwa watoto wa Mungu. Na kwa uwezo wa Roho huyo, tunaweza kumwita Mungu “Baba.”
Kwa maana Mungu hakutupatia sisi Roho wa kuogopa, lakini Roho anayetupatia nguvu, upendo na kujizuiza.
Yeye ndiye aliyetuopoa toka hatari kubwa sana ya kufa, naye atatuopoa tena. Nasi tunamutumainia kwamba ataendelea kutuopoa,
siku moja viumbe hivi vitawekwa huru toka katika utumwa wa uharibifu na kushiriki katika uhuru wenye utukufu wa watoto wa Mungu.
Nina hofu kwa ajili ya vitisho vya waadui zangu, na kwa kuteswa na watu waovu. Watu waovu wananitaabisha, kwa hasira wananishambulia.
Unikumbuke, ee Bwana. Maisha ni mafupi! Umewaumba wanadamu wote kwa bure?
Ee Mungu, nitatimiza ahadi zangu kwako; nitakutolea sadaka za shukrani,
Yeye anawaokoa katika kifo, anawalinda wakati wa njaa.
Kwao wote giza kubwa ni mwangaza wa asubui; wao ni warafiki za vitisho vya giza kubwa.
Hofu kubwa inamutisha kila upande, inamufuata katika kila hatua yake.
Muniambie ninyi munaotaka kuishi chini ya Sheria, hamujui vile Sheria inavyosema?
Wanaangamizwa kwa rafla, wateketezwe kabisa kwa vitisho.
Anaongolewa katika nyumba aliyotegemea, na kupelekwa kwa mufalme wa vitisho.
Kwa maana hakika hakukuja kuwasaidia wamalaika, lakini alikuja kuwasaidia wazao wa Abrahamu.