Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waebrania 2:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Kwa sababu hiyo, tunapaswa kushikamana zaidi na habari tuliyosikia, kusudi tusipotee mbali.

Gade chapit la Kopi




Waebrania 2:1
25 Referans Kwoze  

Nao udongo muzuri walimopanda mbegu, ni mufano wa watu wanaosikia neno la Mungu na kulishika kwa moyo mwema na kwa uhaki. Ndio wale wanaovumulia hata wanatoa matunda mazuri.


“Lakini mukuwe waangalifu na kufanya angalisho sana kusudi musisahau mambo yale muliyoona kwa macho yenu wenyewe, kusudi isitokee hata mara moja katika maisha yenu mambo hayo kusahaulika ndani ya mioyo yenu. Muwaelezee watoto wenu na wajukuu wenu


Wapendwa wangu, hii ni sasa barua ya pili ninawaandikia. Katika barua hizi zote mbili nilitaka kuamusha ndani yenu mafikiri safi mupate kukumbuka mambo haya.


Nitajikaza sana kuwapatia njia ya kuweza kukumbuka mambo haya siku zote kisha kufa kwangu.


Mwana wangu, shika hekima safi na akili; usiviache vitoweke mbele ya macho yako,


Namna gani kijana ataweza kujichunga katika njia safi? Ni kwa kufuatilia neno lako.


Ukiwa mwangalifu, na ukitii masharti na maagizo ambayo Yawe alimwagiza Musa juu ya Israeli, utastawi. Ujipe moyo, ukuwe imara. Usiogope wala usifazaike.


Na zaidi ya hii, mumesahau maonyo haya Mungu anayotoa kwenu kama wana wake? “Mwana wangu, usizarau azabu ya Bwana wala usiregee wakati anapokukaripia.


Muko na macho, lakini hamwoni? Muko na masikio, lakini hamusikii? Hamukumbuki


Hamujaelewa bado? Hamukumbuki ile mikate mitano niliyoshibisha nayo watu elfu tano, nayo ile hesabu ya vitunga mulivyojaza?


Mufanye angalisho sana kusudi musisahau agano ambalo Yawe, Mungu wenu, amefanya nanyi. Musijifanyie sanamu ya kuchonga katika umbo la kitu chochote ambacho Yawe, Mungu wenu, amewakataza kumufananisha nacho,


Utajaa haya pahali pa heshima. Utakunywa wewe mwenyewe na kupepesuka! Yawe mwenyewe atakulewesha, na haya itaifunika heshima yako!


“Munitegee sikio vizuri: Mwana wa Mutu atatolewa katika mikono ya watu.”


Maana ninawachochea Wakaldea, taifa lile kali na lenye nguvu, taifa linalopita katika inchi yote, kwa kunyanganya makao ya watu wengine.


Kwa ajili ya hii, wakaokota mawe kwa kumutupia. Lakini Yesu akajificha na kutoka ndani ya hekalu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite