Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waebrania 12:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kwa maana, Bwana anamwazibu yule anayemupenda, yeye anamupiga kila mutu anayemukubali kuwa mutu wake.”

Gade chapit la Kopi




Waebrania 12:6
19 Referans Kwoze  

Mimi ninawaonya na kuwaazibu wote ninaowapenda. Basi ufanye nguvu, ugeuke toka katika zambi.


maana Yawe anaonya yule anayemupenda, kama vile baba anavyomwonya mwana wake mupenzi.


Ninajua kwamba maamuzi yako ni ya haki, ee Yawe, na kwamba umeniazibu maana wewe ni mwaminifu.


Asiyemwazibu mutoto wake hamupendi; lakini anayemupenda mwana wake atamwazibu kwa wakati.


Heri mutu unayemwadibisha, ee Yawe, mutu unayefundisha sheria yako,


Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwana wangu. Akifanya maovu, nitamwazibu kama vile wanadamu wanavyowaazibu watoto wao kwa fimbo.


Utuonye, ee Yawe, lakini si kwa kasirani, wala kwa hasira yako, kusudi tusiangamie.


Mukumbuke kwamba Yawe, Mungu wenu, anawaazibu kama vile baba anavyoazibu mwana wake.


Heri mutu yule anayevumilia wakati anapojaribiwa, kwa maana akiisha kushinda majaribu, atapokea ile taji ya uzima ambayo Mungu aliahidia wale wanaomupenda.


Nimefaidika kutokana na taabu yangu, maana imeniwezesha kujifunza masharti yako.


Tunawaita watu hao kuwa wenye heri, kwa sababu walivumilia. Mumekwisha kusikia habari za uvumilivu wa Yobu, na munajua namna Bwana alivyomutendea kwa mwisho. Maana Bwana anajaa huruma na wema.


Hivi ndivyo uovu wa wazao wa Yakobo utakavyoondolewa, hivi ndivyo zambi yake itakavyofutwa kabisa: ataziharibu mazabahu za miungu; mawe yake yatasagwasagwa kama chokaa. Sanamu za Ashera wala mazabahu za kufukizia ubani hazitabaki.


Mwana wangu, usizarau azabu ya Yawe, wala usiuzike kwa maonyo yake;


Kwa nini mutu anungunike ikiwa ameazibiwa kwa ajili ya zambi zake?


Lakini Elimeleki, mume wa Naomi, akakufa na Naomi akaachwa na wana wake.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite