Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waebrania 12:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Na zaidi ya hii, mumesahau maonyo haya Mungu anayotoa kwenu kama wana wake? “Mwana wangu, usizarau azabu ya Bwana wala usiregee wakati anapokukaripia.

Gade chapit la Kopi




Waebrania 12:5
33 Referans Kwoze  

Mimi ninawaonya na kuwaazibu wote ninaowapenda. Basi ufanye nguvu, ugeuke toka katika zambi.


Lakini tunahukumiwa na kuazibiwa na Bwana kusudi tusiazibiwe pamoja na watu wa dunia hii.


Heri mutu unayemwadibisha, ee Yawe, mutu unayefundisha sheria yako,


Heri mutu yule anayevumilia wakati anapojaribiwa, kwa maana akiisha kushinda majaribu, atapokea ile taji ya uzima ambayo Mungu aliahidia wale wanaomupenda.


Maisha yangu yako katika hatari siku zote, lakini sisahau sheria yako.


Nimesikia Efuraimu akilalamika hivi: Umeniazibu vikali, maana nilikuwa kama mwana-ngombe asiyezoea nira. Unigeuze nami nitakugeukia, maana wewe ndiwe Yawe, Mungu wangu.


Ninajua kwamba maamuzi yako ni ya haki, ee Yawe, na kwamba umeniazibu maana wewe ni mwaminifu.


Yawe ameniazibu sana, lakini hakuniachilia nikufe.


Muvumilie maadibisho; kwa maana Mungu anawatendea ninyi kama wana wake. Tena, ni mwana gani asiyeazibiwa na baba yake?


Mwana wangu, usisahau mafundisho yangu, lakini kwa moyo wako ushike amri zangu.


Ujipatie hekima, ujipatie ufahamu; usisahau wala kuzarau maneno yangu.


Nimekunjamana kama mufuko wa ngozi katika moshi, hata hivyo sijasahau masharti yako.


Ninafurahia masharti yako; sitasahau neno lako.


Labda mutu atamwambia Mungu hivi: “Nimekosa, sitatenda zambi tena.


Yeye hayuko hapa; amefufuka! Mukumbuke jinsi alivyowaambia wakati alipokuwa angali Galilaya.


Halafu wakakumbuka maneno yale Yesu aliyosema.


Mbele sijateswa nilikuwa nimepotea, lakini sasa ninashika neno lako.


Kwa nini mutu anungunike ikiwa ameazibiwa kwa ajili ya zambi zake?


Tusichoke kutenda mema; kwa maana siku zitakapotimia tutavuna kama tusiporegea.


Kati yao kuna Himeneo na Alesanduro, ambao nimemwachia Shetani kusudi wasimutukane Mungu tena.


Wandugu, ninawasihi kupokea kwa uvumilivu haya maonyo ninayowatolea kwa maana nimewaandikia kwa kifupi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite