Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waebrania 12:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Kama munavyojua, nyuma ya pale alikataliwa wakati alipotaka kupokea baraka toka kwa baba yake. Yeye hakukuwa tena na namna ya kugeuza tendo lake ijapokuwa alitafuta baraka ile kwa machozi.

Gade chapit la Kopi




Waebrania 12:17
10 Referans Kwoze  

Halafu mimi nitawaambia hivi waziwazi: ‘Sikuwajua ninyi hata siku moja. Mutoke karibu nami, ninyi watenda maovu.’


Lakini kama ukitoa miiba na magugu, udongo ule haufai kitu nao uko karibu ya kulaaniwa na Mungu, tena mwisho wake ni kuteketezwa.


Basi wataitwa “takataka za feza”, maana mimi Yawe nimewakataa.


Musirudishiane mabaya kwa mabaya au matusi kwa matusi, lakini muombeane baraka, kwa sababu Mungu aliahidi kuwabariki ninyi wakati alipowaita kumufuata.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite