Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waebrania 10:37 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

37 Kwa maana, kama vile Maandiko haya Matakatifu yanavyosema: “Kunabaki wakati kidogo sana, yule anayepaswa kuja, afike wala hatakawia.

Gade chapit la Kopi




Waebrania 10:37
11 Referans Kwoze  

Ninawaambia ninyi: hatakawia kuwapatia haki. Lakini Mwana wa Mutu atakaporudia, atakuta watu wenye kumwamini katika dunia?”


Mukuje watu wangu, muingie ndani ya nyumba zenu, mujifungie humo ndani. Mujifiche kwa muda mufupi, mpaka kasirani ya Yawe ipite.


Mwenye kushuhudia maneno hayo anasema: “Ndiyo, ninakuja upesi!” Amina! Kuja Ee Bwana Yesu!


Anayekuwa jamaa ndogo kati yenu atakuwa kabila, anayekuwa mudogo kuliko wote atakuwa taifa kubwa. Mimi ndiye Yawe; wakati utakapofika nitayatimiza haraka.


Lakini wapendwa wangu, kuna jambo moja musilopaswa kusahau: ni kwamba mbele ya Bwana, siku moja ni kama miaka elfu moja na miaka elfu moja ni kama siku moja.


kumwuliza Yesu: “Wewe ndiwe yule aliyepaswa kuja kutuokoa au tumungojee mwingine?”


Muonyeshe upole wenu kwa watu wote, kwa maana Bwana yuko karibu kurudia.


Tusiache kukusanyika pamoja, kama vile wamoja wanavyozoea kufanya. Lakini tuonyane, na zaidi sana kufuatana na vile munavyoona kwamba Siku ya Bwana inakaribia.


Bwana hakawii kutimiza ahadi zake kama vile watu wamoja wanavyozania. Yeye anavumilia kwa ajili yenu, maana hapendi hata mutu mumoja apotee, lakini anataka watu wote wageuke toka zambi zao.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite