Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waebrania 10:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Wale wanaomwabudu Mungu kwa njia ile wangetakaswa kabisa kwa mara moja tu, nayo zamiri yao isingewahukumu tena hata kidogo juu ya zambi, basi sadaka zile hazingeacha kutolewa.

Gade chapit la Kopi




Waebrania 10:2
8 Referans Kwoze  

Lakini mimi ndiye niliyefuta makosa yenu kwa heshima yangu, ndiye ninayefuta makosa kwa ajili yangu mwenyewe, wala sitazikumbuka zambi zenu.


Utatuhurumia tena; utatupilia mbali zambi zetu, utazitupa zote katika vilindi vya bahari.


Kama mashariki inavyokuwa mbali na magaribi, ndivyo anavyotenga zambi zetu mbali nasi.


Nimezimisha makosa yako nayo yametoweka kama mawingu, nimefuta zambi zako, nazo zimepotea kama kunguku. Urudi kwangu maana mimi nimekukomboa.


Naye anaongeza kusema: “Nami sitakumbuka tena zambi wala maovu yao.”


Yawe anasema hivi: Kwa sababu ya agano langu pamoja nanyi, agano lililokamilishwa kwa njia ya damu, nitawakomboa wafungwa wenu wanaokuwa kama wamefungwa katika shimo tupu.


Kwa maana mukivumilia mateso musiyostahili kwa ajili ya kumuheshimu Mungu, yeye atawabariki.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite