Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waebrania 10:18 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

18 Basi wakati zambi zinaposamehewa, hakuna tena hitaji la kutoa sadaka kwa ajili ya usamehe wa zambi.

Gade chapit la Kopi




Waebrania 10:18
4 Referans Kwoze  

Wale wanaomwabudu Mungu kwa njia ile wangetakaswa kabisa kwa mara moja tu, nayo zamiri yao isingewahukumu tena hata kidogo juu ya zambi, basi sadaka zile hazingeacha kutolewa.


Kwa maana kwa njia ya sadaka moja aliyotoa, amewafanya wale aliowatakasa kuwa wakamilifu hata milele.


Naye anaongeza kusema: “Nami sitakumbuka tena zambi wala maovu yao.”


Basi wandugu, tuko na uhodari wa kuingia katika Pahali Patakatifu kwa njia ya damu ya Yesu.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite