Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Waebrania 10:17 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

17 Naye anaongeza kusema: “Nami sitakumbuka tena zambi wala maovu yao.”

Gade chapit la Kopi




Waebrania 10:17
4 Referans Kwoze  

Mimi nitawasamehe maovu yao, wala sitakumbuka tena zambi zao.”


Wala hawatafundishana tena kila mutu na jirani yake, na kila mutu na ndugu yake na kusema “Mumujue Yawe”, kwa sababu wote, wadogo kama vile wakubwa, watanijua mimi Mungu. Maana nitawasamehe makosa yao, wala sitazikumbuka tena zambi zao.


Siku zinakuja ambapo nitafanya agano jipya na watu wa Israeli na watu wa Yuda.


Basi wakati zambi zinaposamehewa, hakuna tena hitaji la kutoa sadaka kwa ajili ya usamehe wa zambi.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite