Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Ufunuo 9:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Nywele zao zilikuwa sawa nywele za wanawake, na meno yao yalikuwa kama meno ya simba.

Gade chapit la Kopi




Ufunuo 9:8
8 Referans Kwoze  

Jeshi la nzige limeishambulia inchi yetu; lina nguvu na ni kubwa ajabu; meno yake ni kama ya simba, na mataya yake ni kama ya simba dike.


Kujipamba kwenu kusikuwe kwa inje sawa vile kusuka nywele, kuvaa mapambo ya zahabu au nguo za bei kali.


Ninataka vilevile wanawake wavae kwa namna inayostahili. Inafaa wajipambe kwa adabu na kwa ukadirifu, si kwa namna mbalimbali za urembo za kusuka nywele, wala kwa zahabu, wala kwa ushanga au nguo za bei kali.


Kwa pahali pa harufu ya marasi watatoa uvundo; kwa pahali pa mikaba mizuri watatumia kamba; kwa pahali pa nywele nzuri watakuwa na upaa; kwa pahali pa nguo nzuri watavaa magunia; uzuri wao wote utageuka kuwa haya.


Atanipelekea musaada toka mbinguni na kuniokoa, atawafezehesha hao wanaonishambulia. Mungu atanionyesha wema na uaminifu wake!


Yehu alipofika Yezereheli, Yezebeli alikuwa amekwisha kupata habari ya mambo yaliyotokea. Alijipakaa rangi kwenye macho na kuchanua nywele zake, kisha akaenda kwenye dirisha na kuangalia chini.


Ni kama vile Isaya alivyokuwa ametangulia kusema: “Kama Bwana wa Majeshi hangetuponyeshea wamoja wa wazao wetu, ingetutokea sawa Sodoma, ingegeuka kwetu sawa Gomora.”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite