12 Hasara ya kwanza imepita, na nyuma ya ile kutatokea hasara zingine mbili.
Hasara ya pili imepita, na hasara ya tatu haitakawia kutokea!
Kisha nikaangalia tena, nami nikasikia tai mumoja akiruka juu sana katika anga akisema hivi kwa sauti kubwa: “Ole! Ole! Ole kwa wakaaji wa dunia, kutakaposikilika mulio wa zile baragumu zingine ambazo wamalaika watatu wanatayarisha kupiga!”