Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Ufunuo 9:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Walikuwa na mikia kama ya nge na yenye kuchoma kama miiba. Uwezo wao wa kuwatesa watu kwa muda wa ile miezi mitano ulikuwa ndani ya mikia yao.

Gade chapit la Kopi




Ufunuo 9:10
7 Referans Kwoze  

Nzige wale hawakupewa amri ya kuwaua watu wale, lakini wawatese kwa muda wa miezi mitano. Na maumivu yao yalikuwa kama vile nge wakati anapouma mutu.


Nzige wakatokea katika ule moshi, na kusambaa juu ya dunia. Nao wakapewa nguvu zinazokuwa kama za nge.


kwa maana uwezo wa wale farasi ulikuwa ndani ya vinywa vyao na ya mikia yao vilevile. Mikia yao ilikuwa kama kichwa cha nyoka, na kwa mikia hiyo waliweza kuzuru watu.


Muzigo wa baba yangu ulikuwa muzito, lakini wangu utakuwa muzito zaidi. Baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, lakini mimi nitawapiga kwa mijeledi yenye miiba.’ ”


na kufuata shauri la vijana wenzake. Basi akasema: “Baba yangu aliwabebesha muzigo muzito, lakini mimi nitaufanya kuwa muzito zaidi. Baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, lakini mimi nitawapiga kwa mijeledi yenye miiba”


Lakini, ewe mwanadamu usiwaogope hao wala maneno yao; maana uko katikati ya michongoma na miiba, nawe unaikaa pamoja na nge; usiogope maneno yao wala usitishwe na nyuso zao, maana hao ni watu waasi.


Au anayeweza kumupa nge kama akimwomba yai?


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite