6 Wale wamalaika saba waliokuwa na baragumu saba wakajitayarisha kwa kuzipiga.
Kisha nikaona wamalaika saba wakisimama mbele ya Mungu, nao wakapewa baragumu saba.
Siku ya kwanza ya karamu ya sikukuu ya Mukate Usiotiwa Chachu, wanafunzi wakamwendea Yesu na kumwuliza: “Ni wapi unapotaka tukutayarishie karamu ya Pasaka?”