Ufunuo 7:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20025-8 Kulikuwa watu elfu kumi na mbili waliopigwa chapa ya muhuri toka kila moja la makabila haya: kabila la Yuda, la Rubeni, la Gadi, la Aseri, la Nafutali, la Manase, la Simeoni, la Lawi, la Isakari, la Zebuluni, la Yosefu na la Benjamina. Gade chapit la |