Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Ufunuo 6:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Kisha Mwana-Kondoo akafungua kifundo cha muhuri wa pili. Nikasikia kiumbe cha pili cha ajabu kikisema: “Kuja!”

Gade chapit la Kopi




Ufunuo 6:3
4 Referans Kwoze  

Kiumbe cha kwanza kilifanana na simba, kiumbe cha pili kilifanana na mwana-ngombe na kiumbe cha tatu kilifanana na mutu na kiumbe cha ine kilifanana na tai anayeruka.


Kisha nikaona mambo haya: Mwana-Kondoo alipofungua kifundo cha muhuri wa kwanza kati ya ile mihuri saba, nikasikia kimoja kati ya vile viumbe vya ajabu kikisema hivi kwa sauti kama ya ngurumo ya radi: “Kuja!”


Basi wakaenda, wakatia muhuri juu ya lile jiwe, na wakaweka waaskari pale kwa kulichunga.


Wakati Mwana-Kondoo alipofungua kifundo cha muhuri wa saba, kukakuwa kimya mbinguni kwa muda wa nusu ya saa.


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite