Ufunuo 6:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Kisha nikaona mambo haya: Mwana-Kondoo alipofungua kifundo cha muhuri wa kwanza kati ya ile mihuri saba, nikasikia kimoja kati ya vile viumbe vya ajabu kikisema hivi kwa sauti kama ya ngurumo ya radi: “Kuja!” Gade chapit la |