Ufunuo 21:16 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200216 Muji ule ulikuwa umejengwa namna ya muraba, urefu wake na upana wake vilikuwa sawasawa. Malaika akapima muji ule na ile fimbo; ulikuwa na urefu, upana na urefu wake wa kwenda juu yapata kilometre elfu mbili na mia ine. Gade chapit la |