Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Ufunuo 16:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Malaika wa kwanza akamwanga kikombe chake katika dunia. Halafu majipu mabaya na yenye kuumiza sana yakaota juu ya watu waliokuwa na chapa ya yule nyama na walioabudu sanamu yake.

Gade chapit la Kopi




Ufunuo 16:2
22 Referans Kwoze  

Malaika wa kwanza akapiga baragumu. Halafu mvua ya mawe na moto vyenye kuchanganyika na damu, vikatupwa katika dunia. Sehemu moja ya tatu ya inchi ikateketea, na sehemu moja ya tatu ya miti na majani yote vikateketea vilevile.


Wakamutukana Mungu wa mbinguni kwa sababu ya maumivu yao na yale majipu yao, lakini hawakuacha matendo yao mabaya.


Yawe atawapiga kwa majipu yaliyowapata Wamisri, atawapa vidonda, upele na kuwashwa ambavyo hamuwezi kuponywa.


Na pale pale malaika wa Bwana akamwazibu Herode kwa ugonjwa kwa sababu alijitukuza kwa pahali pa Mungu. Herode akakuliwa na michango ya tumbo na kisha akakufa.


Basi, mimi Yawe nitawaazibu; nitawanyoa nywele hao wanawake wa Sayuni, na kuwavua nguo za kufunika uchi wao.


Nyuma ya hayo yote, Yawe akamuletea mufalme ugonjwa wa tumbo usioweza kupona.


Wewe mwenyewe utapata ugonjwa mukali wa tumbo, ambao utaongezeka siku kwa siku, mpaka matumbotumbo yako yatoke inje.”


Lakini kisha kulipeleka kule Gati, Yawe akauazibu muji huo, akitia hofu kubwa katika muji, na akawapiga wanaume wa muji huo, vijana kama vile wazee, kwa kuwaletea majipu.


Yawe aliwaazibu vikali na kuwatisha watu wa Asidodi. Aliwaazibu, hata na wajirani zao, kwa kuwaletea ugonjwa wa majipu.


Yawe atawaondolea magonjwa yote na hamutapatwa na magonjwa yoyote ya kutisha kama yaliyowapata huko Misri, lakini atawapa waadui zenu magonjwa hayo.


Kwa pahali pa harufu ya marasi watatoa uvundo; kwa pahali pa mikaba mizuri watatumia kamba; kwa pahali pa nywele nzuri watakuwa na upaa; kwa pahali pa nguo nzuri watavaa magunia; uzuri wao wote utageuka kuwa haya.


Alivumisha upepo wa mashariki, kwa nguvu yake akachochea upepo wa kusini,


Basi yule aliyeikaa juu ya wingu, akanyoosha kisu chake juu ya dunia na kuvuna dunia.


Yawe atashambulia magoti yenu na miguu yenu kwa majipu makali ambayo hamutaweza kuponywa; yatawaenea tangu juu ya kichwa mpaka kwenye vikanyagio vya miguu.


Yeye alitumikisha mamlaka yote aliyopewa na yule nyama wa kwanza mbele yake. Alilazimisha vyote vinavyokuwa katika dunia pamoja na wakaaji wake kumwabudu yule nyama wa kwanza aliyekuwa na kovu la kidonda cha hatari.


Na malaika wa tatu akafuata wale wawili wa kwanza, akisema kwa sauti kubwa: “Kila mutu anayeabudu yule nyama na sanamu yake na kupigwa chapa juu ya paji la uso wake au juu ya mukono wake,


Kisha nikasikia sauti kubwa ikitoka katika hekalu ikiwaambia wale wamalaika saba: “Mwende kumwanga vile vikombe saba vya kasirani ya Mungu juu ya dunia!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite