Biblia Todo Logo
Bib sou entènèt

- Piblisite -




Ufunuo 13:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 “Mwenye kuwa na masikio, asikie.

Gade chapit la Kopi




Ufunuo 13:9
7 Referans Kwoze  

“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda nitamupa ruhusa ya kula matunda ya muti wa uzima unaokuwa katika bustani ya Mungu!


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa! “Yule atakayeshinda, nitamupa ile mana iliyofichwa. Na nitamupa vilevile jiwe dogo jeupe, na juu yake kumeandikwa jina jipya ambalo hakuna mutu yeyote anayelijua, isipokuwa tu yule anayelipewa.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoambia makanisa! “Yule atakayeshinda hatapatwa na kifo cha pili.


“Mwenye kuwa na masikio, asikie vizuri vile Roho anavyoyaambia makanisa!


Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!


Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”


Lakini mbegu zingine zikaanguka katika udongo muzuri; nazo zikaota na kutoa matunda, kila moja punje mia.” Yesu alipokwisha kuwaambia hayo yote, akasema: “Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!”


Swiv nou:

Piblisite


Piblisite